Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Burnley ya ligi kuu ya England imewasilisha dau la R25M (3.3 Billion) kumpata Khuliso Mudau mwenye umri wa miaka 28,
Klabu ya Burnley ya ligi kuu ya England imewasilisha dau la R25M (3.3 Billion) kumpata Khuliso Mudau mwenye umri wa miaka 28, Mamelodi Sundowns ilikataa ofa hiyo na kuomba klabu hiyo yenye makao yake makuu nchini Uingereza kuongeza mara dufu ya ofa yao hadi R40M (5.3 Billion).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live