Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka nchini Burkina Faso limemteua gwiji wao wa zamani Aristide BANC kuwa afisa anayesimamia wachezaji wote (scout mkuu) wa Burkina Faso wanaocheza nje ya Taifa hilo.
Shirikisho la soka nchini Burkina Faso limemteua gwiji wao wa zamani Aristide BANC kuwa afisa anayesimamia wachezaji wote (scout mkuu) wa Burkina Faso wanaocheza nje ya Taifa hilo. Anachukua nafasi ya marehemu Drissa MALO TRAORE katika nafasi hii.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live