Fri, 31 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa Arsenal Bukayo Saka amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi wa tatu Ligi Kuu ya England.
Saka amebeba tuzo hiyo akiwapiku wakali kadhaa kama Alexander Isak (NEW), Alexis Mac Allister (BHA), Tyrone Mings (AVL), Mohamed Salah (LIV), Leandro Trossard (ARS).
Kwa mwezi wa tatu Saka amecheza michezo minne akifunga mabao matatu na kutoa pasi 2 za mabao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live