Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bukayo Saka ni mchezaji pekee wa Arsenal katika historia ya Ligi Kuu ya England kuhusika katika bao dhidi ya timu zote alizowahi kukabiliana nazo kwa kufunga bao ama kutoa asisti iliyozaa bao.
Bukayo Saka ni mchezaji pekee wa Arsenal katika historia ya Ligi Kuu ya England kuhusika katika bao dhidi ya timu zote alizowahi kukabiliana nazo kwa kufunga bao ama kutoa asisti iliyozaa bao. Saka ndio kwanza ana umri wa miaka 22.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live