Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Timu ya Taifa ya Ureno Bruno Fernandes kwenye mechi za kufuzu EURO 2024.
Mchezaji anayeongoza kwa kutengeneza nafasi nyingi zaidi akiwa katengeneza nafasi(29)
Mchezaji aliyehusika kwenye magoli mengi zaidi yaani goals na assists kwa ujumla akiwa amehusika kwenye magoli(11)
Mchezaji aliyetengeneza nafasi kubwa zaidi za kufunga magoli akiwa ametengeneza nafasi(9)
Mchezaji aliyetoa pasi nyingi zaidi za magoli akiwa na assists(7).
Ten Hag anakosdea namna ya kumchezesha pale United?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live