Baada ya bao alilofunga dhidi ya Crystal Palace usiku wa jana, Bruno Fernandes sasa amehusika katika mabao 100 kwenye michezo 153 ya mashindano yote tangu alipojiunga na Manchester United.
michezo 153
mabao 55
pasi za mabao 45
Bruno Fernandes pia bao alilofunga hapo jana lilikuwa ni bao lake la 40 katika premier league tangu alipojiunga na Manchester United.
michezo 107
mabao 40
pasi za mabao 28
mabao 20 (nyumbani)
mabao 20 (ugenini)
Ni wachezaji wanne pekee waliofunga mabao 20+ nyumbani na mabao 20+ ugenini katika premier league tangu Bruno Fernandes alipocheza mchezo wake wa kwanza kabisa katika ligi hiyo mwezi February 2020, wachezaji hao ni Mohamed Salah,Harry Kane,Son Heung-Min na Bruno Fernandes mwenyewe.
Bruno Fernandes katika premier league msimu
michezo 18
dakika 1620
mabao 4
pasi za mabao 3
amehusika katika mabao 7
Ana wastani wa kufunga bao au kutoa pasi ya bao kila baada ya dakika 231