Kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes amefikisha pasi za mabao 50 katika mashindano yote tangu alipojiunga na Manchester United.
Mechi 174
Mabao 60
Pasi za mabao 50
Tangu alipocheza mechi yake ya kwanza kabisa akiwa na Manchester United February 2020, Bruno Fernandes ni mmoja kati ya wachezaji wawili pekee katika ligi tano bora za ulaya, walioweza kufunga mabao 50+ na kutoa pasi za mabao 50+ kuanzia hiyo February 2020 hadi sasa.
Lionel Messi (mabao 80 / pasi za mabao 59), Bruno Fernandes (mabao 60 / pasi za mabao 50)
Bruno Fernandes katika mashindano yote msimu huu hadi sasa
Mechi 48
Dakika 4173
Mabao 10
Pasi za mabao 11
Kuhusika katika bao kwa kila dakika 379