Mon, 14 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Manchester United, Ralf Rangnick amethibitisha kuwa kiungo wa kikosi hicho Bruno Fernandes amepimwa na kukutwa na maambukizi ya Virusi vya Uviko-19.
Kocha wa Manchester United, Ralf Rangnick amethibitisha kuwa kiungo wa kikosi hicho Bruno Fernandes amepimwa na kukutwa na maambukizi ya Virusi vya Uviko-19. Kwa sababu huenda akakosekana katika mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Atletico Madrid Jumanne Machi 15.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live