Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes umempa sifa kocha Manchester City, Pep Guardiola akisema ameubadilisha sana mpira na kila timu inatamani kucheza kama Man city
Kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes umempa sifa kocha Manchester City, Pep Guardiola akisema ameubadilisha sana mpira na kila timu inatamani kucheza kama Man city “Guardiola ni kocha aliyeubadilisha mpira na kila mtu anatamani kuwa Pep Guardiola wala hakuna sababu ya kuficha na Kila timu inatamani kucheza kama Man City “
Chanzo: www.tanzaniaweb.live