Wed, 26 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki na Nahodha wa Klabu ya Yanga SC, Bakari Mwamnyeto amesaini Mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Yanga mpaka June 30, 2026.
Beki na Nahodha wa Klabu ya Yanga SC, Bakari Mwamnyeto amesaini Mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Yanga mpaka June 30, 2026. Mwamnyeto ambaye mkataba wake ulikuwa unatamatika msimu huu, amekuwa akiwindwa na Klabu ya Simba ambao walikuwa wakitaka huduma ya kitasa huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live