Tue, 26 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Didier Gomes amefutwa kazi kwenye Klabu ya Simba SC.Taarifa hiyo imetolewa na Simba kupitia Mitandao yake ya Kijamii.
Gomez aliajiriwa Simba SC msimu uliopita kuchukua nafasi ya Sven Vandebroek ambaye aliachana na Simba SC kwa madai ya majukumu ya kifamilia lakini baadae akaibukia klabu ya FAR RABAT ya Morocco.
???? Taarifa kwa umma. #NguvuMoja
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) October 26, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live