Wed, 26 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la mpira wa miguu Duniani FIFA imeiondolea adhabu ya kutofanya usajili klabu ya Young Africa SC ambayo ilikuwa ikiwakabili kutokana na kushindwa kulipa madeni ya wachezaji wao wawili Mamadou Doumbia na Lazarous Kambole ambao walifungua madai yao FIFA na klabu hiyo kufungiwa
TFF imetangaza uamuzi huo wa FIFA huku na wao ikiondoa adhabu ya usajili kwa wachezaji wa ndani ambao pia klabu hiyo ilifungiwa kuwasajili.
Mchezaji yupi unatamani atue kwa wananchi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live