Wed, 20 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Real Madrid Brahim Diaz amepokelewa Morocco kwa ajili ya kulitumikia Taifa hilo.
Mshambuliaji wa Real Madrid Brahim Diaz amepokelewa Morocco kwa ajili ya kulitumikia Taifa hilo. Diaz ameamua kuachana na timu ya Taifa ya Spain ambayo aliitumikia katika ngazi ya timu za vijana na kuamua kuitumikia timu ya asili yake ya Morocco .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live