Aliyewahi kuwa beki wa kulia wa Yanga ambaye kwa Sasa anachezea Ihefe FC Paul Godfrey 'Boxer' anaendelea kujinoa na kikosi chao kwa ajili ya michezo ijayo ya NBC Premier League.
Aliyewahi kuwa beki wa kulia wa Yanga ambaye kwa Sasa anachezea Ihefe FC Paul Godfrey 'Boxer' anaendelea kujinoa na kikosi chao kwa ajili ya michezo ijayo ya NBC Premier League. Ihefu mpaka Sasa wamecheza mechi 2 wameshinda 1 dhidi ya Kagera Sugar ( 1-0) na kufungwa mchezo mmoja dhidi ya Geita Gold ( 1-0) hivyo bado wanajitafuta tofauti na miamba ambayo imeshinda mechi zao mbili zote kwa kishindo Kama Yanga, Azam na Simba.