Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Al-Ittihad, Al-Haili alithibitisha kwamba alifikia makubaliano kamili na Mohamed Salah wa Liverpool msimu uliopita wa joto ili Staa huyo kutua Saudi Arabia.
Rais wa Al-Ittihad, Al-Haili alithibitisha kwamba alifikia makubaliano kamili na Mohamed Salah wa Liverpool msimu uliopita wa joto ili Staa huyo kutua Saudi Arabia. Mpango huo haukukamilika kwa sababu ya kuambiwa na Maafisa wa Saudia kwamba hakuna bajeti ya kukamilisha mpango huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live