Bodi ya Ligi kuu Tanzania TPBL imempa onyo kali Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Azam Fc Abdulkarim Amin kwa kosa la kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo cha klabu hiyo kuzungumza na wachezaji dakika chache kabla ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji.
Bodi ya Ligi kuu Tanzania TPBL imempa onyo kali Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Azam Fc Abdulkarim Amin kwa kosa la kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo cha klabu hiyo kuzungumza na wachezaji dakika chache kabla ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji. Azam kwenye mchezo huo uliofanyika kwenye dimba la nyumbani la klabu hiyi [Azam Complex] waliibamiza Dodoma Jiji kwa jumla ya magoli 4-1, Azam kwasasa imekuwa na mwendelezo bora sana kwenye Ligi.