Fri, 9 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji Jean Baleke (23) na Chadrack Boka (24) wameruhusiwa kuitumikia klabu ya Yanga. ITC zao zimetumwa sasa ni ruksa kuitumikia Young Africans SC.
Wanaweza kukosa mechi za awali dhidi ya Vital'O CAF Champions league lakini mechi zinazofuata (CAF) watacheza kwa sababu (ITC) zao zilichelewa kufika.
Kwa upande wa mashindano ya ndani ni ruksa kuitumikia klabu hiyo hata leo.
Klabu mama zilizowalea ziliweka pingamizi kuhusu usajili wao na kupelekea (ITC) zao kuchelewa kufika kwa kuwa zilitaka nazo kulipwa sehemu ya pesa ya usajili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: