Tue, 16 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa Bodi ya Wakurugenzi imeridhia maombi ya Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula kuondoka ifikapo mwishoni mwa mwezi Agosti 2024 mkataba wake utakapomalizika.
Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa Bodi ya Wakurugenzi imeridhia maombi ya Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula kuondoka ifikapo mwishoni mwa mwezi Agosti 2024 mkataba wake utakapomalizika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live