Tue, 23 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutokana na Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kuwa na changamoto ya kujaa maji mvua zinaponyesha, Bodi ya Ligi (TPLB) imewatoa hofu mashabiki wa soka na kusema mchezo huo upo kama kawaida.
Kutokana na Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kuwa na changamoto ya kujaa maji mvua zinaponyesha, Bodi ya Ligi (TPLB) imewatoa hofu mashabiki wa soka na kusema mchezo huo upo kama kawaida. Katika kikao hicho cha mechi (Pre Match Meeting) kinachokutanisha Bodi na timu husika kimeamuru mchezo huo upigwe na kama kuna mabadiliko yatafanyika hapo hapo kiwanjani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live