Thu, 17 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imekemea vikali Tabia ya baadhi ya Vilabu kuruhusu Viongozi, Maafisa au Mashabiki wao kutumia Jina na ofizi za klabu kufanya mikutano na vyombo vya Habari kisha kutoa shutuma au malalamiko kwa viongozi wa Serikali na Taasisi zinazoendesha na kusimamia mpira wa miguu Tanzania.
Tazama hapa Chini Taarifa ya Bodi ya Ligi;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live