Fri, 5 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi Tanzania imezitaka klabu za Ligi Kuu kutumia kipindi hiki kifupi cha mapumziko kuboresha viwanja vyao.
Baada ya raundi tano za awali, Ligi Kuu ya Tanzania Bara imesimama kuanzia Novemba 19 kupisha mechi za kufuzu Kombe la Dunia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live