Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tunajisifu kuwa ligi yetu ni ya (6) kwa ubora Afrika halafu klabu inaitangaza kampuni ya kimataifa (NIKE) bila kuingia nayo mkataba.
Mtibwa sugar wameenda kusagula jezi zenye nembo ya NIKE bila makubaliano yoyote ya kimkataba na wanazitumia ligi kuu Tanzania bara bila wasiwasi. Hii ni aibu kwa bodi ya ligi, TFF na Ligi Kuu yenyewe.
Kama Mtibwa Sugar wangepoteza jana dhidi ya Namungo wangeshuka daraja rasmi kwenda Championship. Wamebakiza michezo miwili yote ugenini.
◉ vs Mashujaa FC.
◉ vs Ihefu FC.
Full — Mtibwa sugar 0 - 0 Namungo.
(1997 - 2024) Kwa heri Mtibwa Sugar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live