Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa zamani wa Lyon ya Ufaransa Jerome Boateng anatarajiwa kurejea Bayern Munich leo kwa mkataba wa muda mfupi.
Mlinzi wa zamani wa Lyon ya Ufaransa Jerome Boateng anatarajiwa kurejea Bayern Munich leo kwa mkataba wa muda mfupi. Vipimo vya afya ameshakamilisha na kila kitu kipo sawa kwa upande wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live