Sat, 12 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kevin-Prince Boateng (36) ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kulipwa baada ya kutumikia vilabu zaidi ya 15 barani Ulaya ikiwemo Barcelona na AC Milan.
Kevin-Prince Boateng (36) ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kulipwa baada ya kutumikia vilabu zaidi ya 15 barani Ulaya ikiwemo Barcelona na AC Milan. Akiwa Mchezaji Boateng kwa ngazi ya Klabu alifanikiwa kucheza Mechi 520 na kufunga magoli 76,assist 56 na kutwaa Makombe matano.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live