Thu, 27 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bilion 30 zimetolewa na Serikali kupitia Wizara ya utamaduni Sanaa na Michezo kuufanyia ukarabati uwanja wa Mkapa.
Bilion 30 zimetolewa na Serikali kupitia Wizara ya utamaduni Sanaa na Michezo kuufanyia ukarabati uwanja wa Mkapa. Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara Said Yakubu amesema maboresho hayo yatafanyika katika maeneo ya kuchezea,vyumba vya wachezaji na kutoa viti vyote vya uwanja huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live