Wed, 5 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesema mchezaji yeyote ambaye hatapima afya haturuhusiwa kucheza Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara msimu ujao (2023/2024).
Tayari Klabu mbalimbali zimeonekana zikiwafanyia wachezaji wao vipimo tayari kujiandaa kwa msimu ujao.
Tazama na usome kwa urefu Taarifa ya Bodi ya Ligi hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: