Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Ihefu imemtangaza Biko Scanda kuwa mtendaji mkuu wa klabu hiyo yenye maskani yake Mbarali mkoani Mbeya.
Vijana wanaendelea kupewa nafasi kwa ukubwa wake kwenye soka.
Baada ya kutoa darasa sehemu mbalimbali kwenye soka sasa ni wakati wa kwenda kuonesha kwa vitendo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live