Thu, 3 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Championship, Biashara United imeona sio vibaya kuiga kwa wakubwa zake wa Ligi Kuu kwa kuja na tamasha la Biashara Day litakalofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Agosti 26, 2023.
Timu ya Championship, Biashara United imeona sio vibaya kuiga kwa wakubwa zake wa Ligi Kuu kwa kuja na tamasha la Biashara Day litakalofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Agosti 26, 2023. Licha ya mambo mengi wataitumia siku hiyo kutangaza kikosi chao kipya cha msimu mpya wa 2023/24.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live