Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Beşiktaş imepanga kuachana na mshambuliaji wao Vicent Aboubakary mara baada ya msimu huu kumalizika rasmi.
Klabu ya Beşiktaş imepanga kuachana na mshambuliaji wao Vicent Aboubakary mara baada ya msimu huu kumalizika rasmi. Msimu huu mshambuliaji huo amefunga magoli 5, assist 1 katika michezo 22 ya Ligi ya Uturuki aliyocheza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live