Tue, 13 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva, anawindwa na klabu ya Paris St-Germain ya Ufaransa.
Kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva, anawindwa na klabu ya Paris St-Germain ya Ufaransa. Mabingwa hao wa Ufaransa wako tayari kulipa dau la Pauni milioni 51 kwa mchezaji huyo mwenye miaka 29.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live