Fri, 29 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Benardo Silva amefikia idadi ya pasi za usaidizi wa magoli (Assist) kwenye Ligi kuu nchini England akifikisha Assist (37).
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Benardo Silva amefikia idadi ya pasi za usaidizi wa magoli (Assist) kwenye Ligi kuu nchini England akifikisha Assist (37). Idadi hiyo inamfanya kuifikia rekodi ya Cristiano Ronaldo ambae anakipiga nae Timu ya Taifa ya Ureno.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live