Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Ufaransa, Karim Benzema anafikiria kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Darmanin kwa kudai "Benzema ana uhusiano mbaya na Muslim Brotherhood .
Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Ufaransa, Karim Benzema anafikiria kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Darmanin kwa kudai "Benzema ana uhusiano mbaya na Muslim Brotherhood .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live