Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambulijaj wa Al Ittihad ya Saudi Arabia, Karim Benzema amerejea katika uwanja wa mazoezi wa Real Madrid, Valdebebas, kufanywa vipimo zaidi na kupata msaada wa kitabibu kutokana na majeraha yake.
Al Ittihad imethibitisha hilo na kuwashukuru Real Madrid kwa msaada wao.
Hii kibongo bongo inaweza kufanyika?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live