Mon, 1 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha wa Klabu ya Simba SC, Abdelhak Benchikha raia wa Algeria ameajiriwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya JS Kabylie ya nchini mwao.
Aliyekuwa kocha wa Klabu ya Simba SC, Abdelhak Benchikha raia wa Algeria ameajiriwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya JS Kabylie ya nchini mwao. Amepewa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mkataba mwingine katika klabu hiyo ya Algeria.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live