Sat, 29 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha mkuu Wa Simba sc Abdhalhk Benchikha Yupo katika Hatua za Mwisho za kujiunga na JS KABYLIE ya Algeria.
Aliyekuwa kocha mkuu Wa Simba sc Abdhalhk Benchikha Yupo katika Hatua za Mwisho za kujiunga na JS KABYLIE ya Algeria. Msimu huu Kablylie imeshika nafasi ya 7 Baada ya michezo 30 walikusanya jumla ya Alama 42 wakifunga Magoli 33 na kuruhusu Magoli 27.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live