Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha leo ameingia kwa staili tofauti katika mechi yake dhidi ya Kagera Sugar.
Leo ameanza na Sadio Kanoute, Fabrice Ngoma na Mzamilu Yassin tofauti na michezo yake miwili iliyopita ambayo alikuwa akiwatumia Ngoma na Kanoute.
Mechi inapigwa jioni hii majira ya saa 10 kamili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC 2023-24.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live