Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ben Foster atundika daruga

Ben Foster Ben Foster

Fri, 16 Sep 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kipa wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya England, Ben Foster (39) ametangaza kustaafu soka.

Foster alimaliza mkataba wake na klabu ya Watford mwishoni mwa msimu uliopita na alikataa ofa ya kujiunga na klabu ya Newcastle kwa msimu huu.

Kipa huyo alithibitisha kustaafu kwake kupitia video iliyowekwa kwenye channel yake maarufu katika mtandao wa Youtube, video hiyo iliambatana na ujumbe uliosema "ni wakati wa kusema kwaheri."

Chanzo: www.tanzaniaweb.live