Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) imemchagua Kiungo Mshambuliaji hatari wa Klabu ya Real Madrid,Jude Bellingham kuwa Mchezaji bora kinda wa Msimu wa 2023/24 wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuisaidia Klabu yake kutwaa Ubingwa wa kombe hilo.
Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) imemchagua Kiungo Mshambuliaji hatari wa Klabu ya Real Madrid,Jude Bellingham kuwa Mchezaji bora kinda wa Msimu wa 2023/24 wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuisaidia Klabu yake kutwaa Ubingwa wa kombe hilo. Madrid wamebeba taji lao la 15 la UEFA Juni 1 katika mchezo wa Fainali dhidi ya Dortmund.