Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Real Madrid timu ya Taifa England, Jude Bellingham ameshinda tuzo Kopa Trophy kama mchezaji bora mwenye umri chini ya miaka 21 kwenye hafla la tuzo za Ballon d'or 2023.
Bellingham imeibuka kidedea na kutwaa tuzo hiyo mbele ya :-
Jude Bellingham (1)
Jamal Musiala (2)
Pedri (3)
Eduardo Camavinga (4th)
Gavi (5th)
Xavi Simons (6th)
Alejandro Baldé (7th)
António Silva (8th)
Rasmus Højlund (=9th)
Elye Wahi (=9th)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live