Fri, 2 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Getafe imemshtaki kiungo wa Real Marid Jude Bellingham kwenye uongozi wa La Liga wakidai kwamba amemtolea maneno ya kuudhi mshambuliaji wao Mason Greenwood.
La Liga inachunguza maneno hayo yanayodaiwa kuwa ya kuudhi ambayo yameyotolewa na Jude Bellingham.
Wanadai alimuita "MMBAKAJI"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live