Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa timu ya Taifa ya Tanzania, Miano van den bos amepata nafasi ya kufanyiwa Majaribio katika Klabu ya Elche CF inayoshiriki ligi daraja la kwanza Hispania (Laliga 2) ili kuangaliwa uwezekano wa kusajiliwa klabuni hapo
Beki wa timu ya Taifa ya Tanzania, Miano van den bos amepata nafasi ya kufanyiwa Majaribio katika Klabu ya Elche CF inayoshiriki ligi daraja la kwanza Hispania (Laliga 2) ili kuangaliwa uwezekano wa kusajiliwa klabuni hapo Kila La kheri Danilo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live