Fri, 4 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi Ally Ramadhan Oviedo amejiunga na klabu ya Mashujaa FC ya Kigoma akitokea KMC ya Dar es salaam.
Mlinzi Ally Ramadhan Oviedo amejiunga na klabu ya Mashujaa FC ya Kigoma akitokea KMC ya Dar es salaam. Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu msimu 2022-23 aliitumikia Ihefu kabla ya kurejea KMC ambako ndipo alitokea wakati anajiunga na Ihefu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live