Mon, 18 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Angola, Helder Costa amegoma kujiunga na Kikosi cha timu ya Taifa ya Angola kilichotajwa kwenda kwenye Michuano ya AFCON mwezi January huku akitoa sababu ya kwamba hayupo kwenye kiwango Bora kwa sasa hivyo nafasi hio apewe mchezaji mwingine ambaye ameonesha Kiwango bora zaidi yake.
"Sijawa kwenye Kiwango bora Msimu huu (Hajacheza tangu Mwezi Oktoba kutokana na kutokuwa na timu) hivyo nafasi yangu ichukuliwe na Mchezaji aliye kwenye ubora"
Neno moja kwa Helder Costa tafadhali
Chanzo: www.tanzaniaweb.live