Thu, 18 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nahodha wa Equatorial Guinea, Emilio Nsue mwenye umri wa miaka 34 amefunga Hat Trick ya kwanza katika AFCON hii
Mshambuliaji na Nahodha wa Equatorial Guinea ndio mchezaji mwenye umri mkubwa kufunga Hat Trick katika historia ya mashindano haya ya AFCON.
Nsue kwenye klabu yake anacheza beki wa kulia lakini timu yake ya Taifa anacheza mshambuliaji na anatupia kamabani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live