Wed, 23 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa zamani wa Yanga na Dodoma Jiji Abdallah Shaibu "Ninja" amejiunga na klabu ya FC Lubumbashi inayoshiriki Ligi Kuu Nchini DR Congo baada ya kuachwa na Yanga.
Beki wa zamani wa Yanga na Dodoma Jiji Abdallah Shaibu "Ninja" amejiunga na klabu ya FC Lubumbashi inayoshiriki Ligi Kuu Nchini DR Congo baada ya kuachwa na Yanga. Katika dirisha hili la usajili FC Lubumbashi imeongeza wachezaji 9 kama maingizo mapya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live