Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Anord, ameiambia klabu ya Real Madrid hana mpango wowote wa kuondoka kikosini humo.
Mlinzi wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Anord, ameiambia klabu ya Real Madrid hana mpango wowote wa kuondoka kikosini humo. Madrid wanamtaka mlinzi huyo wa timu ya taifa Uingereza amewaambia kuwa hafikirii kuondoka klabuni hapo kwa miaka ya karibuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live