Wed, 11 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Moja kati ya wapigaji wazuri wa mipira iliyokufa ni mchezaji wa timu ya taifa ya Argentina na Inter Miami ya Marekani Lionel Messi.
Messi amekuwa akifunga mara kwa mara magoli ya aina hiyo ya mipira iliyokufa (Free Kick)
Lakini kwa mujibu wa mlinzi wa timu ya taifa Ureno na klabu ya Wolves Nelson Semedo anasema wakati wakiwa wote Barcelona hakuwahi kumuona Messi alijifunza kupiga free kick, licha yakuwa ni miongoni mwa wapiga free kick wazuri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live