Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa zinasema kuwa Klabu ya Azam FC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati wa Coastal Union Lameck Elias Lawi kwa kandarasi ya miaka mitatu (3).
Taarifa zinasema kuwa Klabu ya Azam FC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati wa Coastal Union Lameck Elias Lawi kwa kandarasi ya miaka mitatu (3). Lameck Lawi amekubali mkataba wa miaka mitatu kwa shilingi milioni mia moja (Tsh 100M).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live