Tue, 19 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa Arsenal Gabriel amejiondoa kwenye kikosi cha Brazil kutokana na majeraha, Shirikisho la Soka la Brazil limetoa taarifa rasmi.
Beki wa Arsenal Gabriel amejiondoa kwenye kikosi cha Brazil kutokana na majeraha, Shirikisho la Soka la Brazil limetoa taarifa rasmi. Kwa sababu hiyo, Mlinzi wa klabu ya Juventus Bremer, ameitwa kuchukua nafasi ya Gabriel katika kikosi hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live