Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klab ya Aston Villa imeweka bei ya £110m kwa vilabu vinavyotaka kumsajili kiungo wake Douglas Luiz.
Klab ya Aston Villa imeweka bei ya £110m kwa vilabu vinavyotaka kumsajili kiungo wake Douglas Luiz. Mikel Arteta anavutiwa na kiungo huyo na anafanya jitihada kumvuta Emirates lakini kwa bei hiyo dili hilo linaweza lisifanyike.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live